Himalaya ni safu ya milima katika Asia upande wa kaskazini ya Uhindi. Ng'ambo ya Himalaya ni nyanda za juu za Tibet. Himalaya ina milima mikubwa duniani. Milima 14 mikubwa kabisa ya dunia iko Himalaya.
Kati ya milima mikuwba ni Mount Everest, K2 na Nanga Parbat.