Babeli

Babeli ulikuwa mji wa kale katika Mesopotamia, muhimu kwa karne nyingi kama mji mkuu wa milki zilizotawala maeneo makubwa ya Mashariki ya Kati.

Inatajwa mara nyingi katika Biblia, hasa kwa jina la Babuloni.

Maghofu yake hupatikana karibu na mji wa kisasa wa Al Hillah (Irak) kando ya mto Frati km 90 kusini kwa Baghdad.

Historia

Orodha ya wafalme wake ilianza mnamo mwaka 2300 KK. Mfalme mashuhuri wa kwanza alikuwa Hammurabi.

Babeli ulikuwa mji mkuu wa milki mbili kubwa kabla na baada ya kipindi cha enzi ya Ashuru.

Kati ya miaka 1770 KK na 1670 KK na mara ya pili kati ya miaka 612 KK na 320 KK inaaminika ulikuwa mji mkubwa zaidi duniani.

Wakati wa Milki ya pili ya Babeli mfalme Nebukadreza II alitawala nchi zote kati ya Palestina (Kanaani au Israeli) hadi Ghuba ya Uajemi.

Bustani ya malkia Semiramis ilikuwa moja ya maajabu saba ya dunia.

Piramidi au zigurat kubwa za mji zilikuwa maarufu na mfano wao ni mnara wa Babeli unaotajwa katika kitabu cha Mwanzo 11:1-9 (katika Tanakh, yaani Biblia ya Kiebrania, na katika Agano la Kale katika Biblia ya Kikristo).

Wakati ule jeshi la Babeli liliteka mji wa Yerusalemu mwaka 587 KK, lilibomoa hekalu la Suleimani na kuwapeleka Wayahudi hadi Mesopotamia kwa uhamisho wa Babeli.

Inaaminika ya kwamba sehemu kubwa za Biblia ya Kiebrania ziliandikwa uhamishoni kule Babeli.

Mwaka 539 KK Waajemi walivamia Dola la Babeli na kuliteka. Babeli uliendelea kuwa mji muhimu katika Dola la Uajemi.

Baada ya ushindi wa Aleksanda Mkuu juu ya mfalme Mwajemi Darius III, Babeli ulikuwa chini ya utawala wa Wagiriki. Aleksanda alikufa Babeli mwaka 323 KK katika jumba la kifalme la Nebukadreza.

Mwaka 275 KK Wagiriki walijenga mji mkuu mpya wakawalazimisha wakazi wa Babeli kuhamia huko Seleukia. Huo ulikuwa mwisho wa mji ule mkubwa.

Mataifa ya kale walikumbuka mji wa Babeli kwa muda mrefu.

Barua ya kwanza ya Petro na kitabu cha Ufunuo wa Yohane katika Agano Jipya (kilichoandikwa mnamo mwaka 90 BK) vinatumia jina la Babeli kama jina la fumbo kuashiria Roma.

Imeorodheshwa katika kategoria zifuatazo:
Tuma maoni
Vidokezo na Vidokezo
Max Alaskari
10 November 2014
Babylon (/ˈbæbələn, -ˌlɒn Akkadian: Bābili(m)Sumerian logogram: KÁ.DINGIR.RAKI Hebrew: בָּבֶל, Bavel Ancient Greek: Βαβυλών Babylṓn; Old Persian: ???????????????????????? Bābiru; Arabic: بابل‎, Bābil)
Rabia Abay
20 June 2017
Very nice pure people, amazing history, good places..
يحيى الياسري
8 February 2017
من اقدم واعظم المعالم الاثرية في بلاد مابين النهرين ..
Mesut Güldoğan
26 November 2013
Dünyanın sekizinci harikası Babil bahçeleri burda
الغروب الأخير
5 September 2013
صباح الورود
Pakia maoni zaidi
foursquare.com
Wabel tubal

kuanzia $67

Sigma House Al Jawhara

kuanzia $80

Copthorne Al Jahra Hotel & Resort

kuanzia $154

Sigma House - Al Dahiya

kuanzia $53

Raoum Inn Arar

kuanzia $48

Marina arar

kuanzia $42

Vitunguu vilivyopendekezwa karibu

Ona yote Ona yote
Ongeza kwenye orodha ya matamanio
Nimekuwa hapa
Walitembelewa
Etemenanki

Etemenanki (Sumerian: Шаблон:Cuneiform Шаблон:Transl 'temple of

Ongeza kwenye orodha ya matamanio
Nimekuwa hapa
Walitembelewa
Ishtar Gate

The Ishtar Gate (Assyrian: ܕܵܪܘܲܐܙܲܐ ܕܥܵܐܫܬܲܪ translit: Darwaz

Ongeza kwenye orodha ya matamanio
Nimekuwa hapa
Walitembelewa
Hanging Gardens of Babylon

The Hanging Gardens of Babylon, also known as the Hanging Gardens of

Ongeza kwenye orodha ya matamanio
Nimekuwa hapa
Walitembelewa
Borsippa

Borsippa (modern Birs Nimrud site, Iraq) was an important ancient city

Ongeza kwenye orodha ya matamanio
Nimekuwa hapa
Walitembelewa
Imam Husayn Shrine

The Shrine of Husayn ibn ‘Alī (Arabic: مقام الامام الحسين‎) is

Ongeza kwenye orodha ya matamanio
Nimekuwa hapa
Walitembelewa
Great Mosque of Kufa

The Great Mosque of Kufa, or Masjid al-Kūfa (Arabic: مسجد الكو

Ongeza kwenye orodha ya matamanio
Nimekuwa hapa
Walitembelewa
Imam Ali Mosque

The Imām ‘Alī Holy Shrine (العربية. حرم الإمام علي), also known as

Ongeza kwenye orodha ya matamanio
Nimekuwa hapa
Walitembelewa
Taq-i Kisra

The Tāq-i Kisrā (Persian طاق كسرى , meaning Iwan of Khosrau) is a Per

Tazama maeneo yote ya karibu

Vivutio sawa vya watalii

Ona yote Ona yote
Ongeza kwenye orodha ya matamanio
Nimekuwa hapa
Walitembelewa
Machu Picchu

Machu Picchu (Quechua: Machu Pikchu, 'Old Peak', pronounced ]) is a

Ongeza kwenye orodha ya matamanio
Nimekuwa hapa
Walitembelewa
Acropolis of Athens

The Acropolis of Athens is the best known acropolis (Gr. akros, akron,

Ongeza kwenye orodha ya matamanio
Nimekuwa hapa
Walitembelewa
Old Town, Al-'Ula

The Old Town is an archaeological site near Al-'Ula, Medina Province,

Ongeza kwenye orodha ya matamanio
Nimekuwa hapa
Walitembelewa
Persepolis

Persepolis (kwa Kiajemi cha Kale: Pars'a; kwa Kifarsi:

Ongeza kwenye orodha ya matamanio
Nimekuwa hapa
Walitembelewa
Temple of Poseidon, Sounion

The ancient Greek temple of Poseidon at Cape Sounion, built during

Tazama maeneo yote yanayofanana