Hekalu la Yerusalemu

Hekalu ya Yerusalemu ilikuwa kitovu cha ibada za Uyahudi wakati wa Israeli ya Kale. Kwa jumla kulikuwa na majengo mawili yaliyofuatana kwenye mlima wa hekalu mjini Yerusalemu. Imani ya Kiyahudi inategemea kujengwa kwa hekalu ya tatu pamoja na kuja kwa Masiya wakati ujao.

Katika imani ya Kiyahudi sehemu ya Patakatifu pa Patakatifu ndani ya hekalu ilikuwa mahali ambako Mungu mwenyewe aligusa dunia.

Hekalu ya kwanza

Hekalu ya kwanza ilijengwa na mfalme Suleimani kuanzia mwaka 957 KK. Hekalu hii ilichukua nafasi ya hema ya kukutania iliyotunza vifaa vya ibada za Kiyahudi tangu siku za kale ikaaminiwa tangu Musa.

Hekalu hii ilikuwa mahali pa pekee palipotazamiwa kuwa sehemu halali kwa ibada za sadaka. Hata hivyo kuna taarifa katika Biblia kuhusu ibada kwenye "mahali pa juu" yaani juu ya milima zilizolaumiwa katika Biblia kama ishara ya imani potofu.

Hekalu hii ya Suleimani iliharibika mwaka 587 KK wakati Nebukadreza II wa Babeli alipovamia Yerusalemu na kuharibu mji.

Hekalu ya Pili

Baada ya ushindi wa Waajemi juu ya Babeli mwaka 539 KK mfalme Koreishi aliwaruhusu Wayahudi kujenga hekalu upya. Kitabu cha Ezra katika Biblia kinasimulia habari hizi.

Ujenzi ulifuata mpango wa hekalu ya kwanza na ulifanya mahali palepale Yerusalemu kwenye "mlima wa hekalu". Katika hekalu hii ya pili sehemu ya Patakatifu pa Patakatifu ilikaa bila kitu ndani yake kwa sababu Sanduku la Agano lilipotea tangu kubomolewa kwa hekalu ya kwanza.

Hekalu iliharamishwa na mfalme Antiochos IV mwaka 169 KK alipoweka hapa sanamu ya mungu wa Kigiriki Zeus. Hatua hii ilisababisha upinzani wa Wamakabayo waliorudisha ibada ya Kiyahudi hekaluni na hadi leo sherehe ya Hanuka inakumbusha kutakaswa kwa hekalu.

Matengenezo chini ya Herode

Mnamo mwaka 21 KK mfalme Herode aliamuru matengenezo ya hekalu. Wataalamu wengi huona ya kwamba matengenezo yalifanana na ujenzi mpya hekalu ilipambwa na kuongezeka.

Hekalu inayotajwa katiika taarifa za Agano Jipya ni hekalu hii ya Herode.

Mwaka 70 jeshi la Dola la Roma lilivamia Yerusalemu na kubomoa hekalu. Kuta za msingi zilibaki na ukuta mkubwa wa magharibi unasimama hadi leo ni Ukuta wa Maombolezo wa Wayahudi.

Baada ya kuharibika kwa hekalu

Waroma walijenga hekalu kubwa kwa mungu wao Jupiter iliyobomolewa baada ya ushindi wa Ukristo katika Dola la Roma. Kulikuwa mara mbili na majaribio kujenga hekaluy a Kiyahudi tena matra ya kwanza chini ya Kaisari Julian Apostata na mara ya pili wakati wa uvamizi wa Uajemi kwenye vita dhidi ya Bizanti mnamo 614 lakini majaribio yote yalishindikana.

Waislamu walipovamia Yerusalemu walikuta mlima wa hekalu kama mahali pa maghofu tu wakajenga hapa msikiti. Leo hii kuna majengo ya kiislamu ya msikiti wa Al Aqsa pamoja na Kubba ya Mwamba.

Ukuta wa magharibi wa hekalu ya Herode unaoitwa Ukuta wa Maombolezo ni mahali patakatifu pa Wayahudi.

Imeorodheshwa katika kategoria zifuatazo:
Tuma maoni
Vidokezo na Vidokezo
Thomas Parisot
10 January 2017
You have two opportunities a day to enter this sacred place and it's worth it: quiet, beautiful and peaceful.
Linda B
13 March 2013
Women should bring head covering and cover their shoulders, men cannot wear shorts. Only Muslim religious articles are permitted.
B.E.K
30 October 2018
Mescid-i Aksa ve Sahraül Kubbe’nin bulunduğu yüksek tepe. Cumartesi günleri sadece müslümanlar girebiliyor. Müslümanlar için Mescid-i Aksa, Mekke ve Medine’den sonraki en kutsal yerdir.
Leo Pérez Ramos
31 August 2019
Un territorio compartido entre musulmanes y judíos, se divide conforme a los monumentos persistentes y lo que representan para ellos. Aunque también para los cristianos tiene alta relevancia.
Kevser Ozdemir
25 June 2019
Hz Muhammedin göğe yükseldiği yer.
Marina Azaria
13 August 2020
Ощущаешь себя ближе с богом тут
Pakia maoni zaidi
foursquare.com
Brand new gem in Talbyeh with Garden

kuanzia $191

Best Location Historic Boutique Apartment

kuanzia $139

A luxurious apartment in the center of Jerusalem

kuanzia $0

Ritz Hotel Jerusalem

kuanzia $0

Prima Royale Hotel

kuanzia $126

The Inbal Jerusalem

kuanzia $315

Vitunguu vilivyopendekezwa karibu

Ona yote Ona yote
Ongeza kwenye orodha ya matamanio
Nimekuwa hapa
Walitembelewa
Dome of the Rock

The Dome of the Rock (Arabic: مسجد قبة الصخرة‎, translit.: Mas

Ongeza kwenye orodha ya matamanio
Nimekuwa hapa
Walitembelewa
Temple Mount

The Temple Mount (הַר הַבַּיִת, Har haBáyit), also known as Mount Mo

Ongeza kwenye orodha ya matamanio
Nimekuwa hapa
Walitembelewa
Fountain of Qayt Bay

Fountain of Qayt Bay or Sabil Qaitbay is a domed public fountain

Ongeza kwenye orodha ya matamanio
Nimekuwa hapa
Walitembelewa
Fountain of Qasim Pasha

The Fountain of Qasim Pasha (Arabic: سبيل قاسم باشا‎) also known as

Ongeza kwenye orodha ya matamanio
Nimekuwa hapa
Walitembelewa
Little Western Wall

The Little Western Wall, (Hebrew: הכותל הקטן‎, HaKotel HaKatan),

Ongeza kwenye orodha ya matamanio
Nimekuwa hapa
Walitembelewa
Al-Aqsa Mosque

Al-Aqsa Mosque (Arabic:المسجد الاقصى, [IPA /æl'mæsʒɪd æl'ɑqsˁɑ/, Шабл

Ongeza kwenye orodha ya matamanio
Nimekuwa hapa
Walitembelewa
Old City (Jerusalem)

The Old City (Hebrew: העיר העתיקה‎, HaEer HaAtika, Arabic: البلدة القد

Ongeza kwenye orodha ya matamanio
Nimekuwa hapa
Walitembelewa
Solomon's Stables

Solomon's Stables is the common name of an area located directly

Vivutio sawa vya watalii

Ona yote Ona yote
Ongeza kwenye orodha ya matamanio
Nimekuwa hapa
Walitembelewa
Mount of Olives

The Mount of Olives (also Mount Olivet, עברית. הר הזיתים, Har HaZeitim

Ongeza kwenye orodha ya matamanio
Nimekuwa hapa
Walitembelewa
Temple Mount

The Temple Mount (הַר הַבַּיִת, Har haBáyit), also known as Mount Mo

Ongeza kwenye orodha ya matamanio
Nimekuwa hapa
Walitembelewa
Solomon's Stables

Solomon's Stables is the common name of an area located directly

Ongeza kwenye orodha ya matamanio
Nimekuwa hapa
Walitembelewa
Mauna Kea

Mauna Kea ni mlima wa volikano katika jimbo la Hawaii (Marekani).

Ongeza kwenye orodha ya matamanio
Nimekuwa hapa
Walitembelewa
Mount Athos

Mount Athos (Ελληνικά. Όρος Άθως, Oros Athos) is a mountain on the

Tazama maeneo yote yanayofanana